Natafuta shamba pori Morogoro

Natafuta shamba pori Morogoro

Kapuku83

Senior Member
Joined
Sep 8, 2012
Posts
146
Reaction score
35
Wadau natafuta shamba/pori la kununua mkoani Morogoro hasa katika maeneo ya Mikese,Dumila,Kilosa,Mvomero au Dakawa,liwe linafaa kwa kilimo cha mpunga/liwe eneo linalowezekana kufanya kilimo cha umwagiliaji
 
Mkuu jaribu maeneo ya pale mikese. Ukishuka pale mizani jaribu kufanya upelelezi kwa kuwaulizia wale vijana waendesha bodaboda, wao wanajuana na wamiliki wengi na maeneo mengi pia.
 
Mkuu Bhbm je unaweza kua na idea,pori la heka moja linaweza kwenda kwa kiasi gani huko Mikese?
 
Mkuu jaribu maeneo ya pale mikese. Ukishuka pale mizani jaribu kufanya upelelezi kwa kuwaulizia wale vijana waendesha bodaboda, wao wanajuana na wamiliki wengi na maeneo mengi pia.

Asante mkuu
 
Nenda pale Mikese mbele kidogo ya mizani kama unatokea Dar. Pale wanapouza nyanya etc. Ulizia either of these people - Mwega au Mohammed Mzee. Hawa watu watakusaidia kupata shamba.
 
Wadau natafuta shamba/pori la kununua mkoani Morogoro hasa katika maeneo ya Mikese,Dumila,Kilosa,Mvomero au Dakawa,liwe linafaa kwa kilimo cha mpunga/liwe eneo linalowezekana kufanya kilimo cha umwagiliaji
Kuna acres 1000 kama una ubavu na uko serious contact me on +255766263605 na +255712656122....

Wewe tu
 
Back
Top Bottom