Natafuta Shamba Maeneo Ya Bagamoyo Mpaka Msata

Natafuta Shamba Maeneo Ya Bagamoyo Mpaka Msata

Tobaaaa, nimeingilia ajira ya watu kutoa maelekezo, ha ha haaa. Asante Mkuu. Mteja wenu huyo. mimi mmenisaidia sana ndio maana nimejikuta nina kimbelembele. ha ha ha.
hapana hujaingilia kwa ubaya mkuu tena nashkuru Sana kwakufikisha ujumbe nzur kwa jamii.nikweli kampuni yetu inajitahd Sana kufikisha huduma ya ardhi kwa uhakika salama thabiti na kwagharama za chini Sana.wengi walipitia VKP investment hakika wana amani kutatua nasi swala la upatkanaji WA ardhi. Asante sn
 
Mkuu Naomba Bei, Na Mazingira ya Shamba
Bei ya Shamba in tsh 500,000/- kwa heka maongezi yapo.
0794e303a42cfb4a8613b25e98ee7005.jpg
2513ce80438ef0ee9a91841717e382bf.jpg
 
Shamba ina miti yaasili (hard wood) nakibali chakuvuna kipo....kina kisima kirefu (borehole) kina offer...sehemu nzuri kwa kilimo na ufugaji

Mkuu Ni Macho Yangu au Nazeeka Picha Mbona Inaonyesha Shamba Liko Kama Mwenye Miamba na Udongo wa Kokoto Zao Gani?

Nauliza Swali Hilo Kuna Kitu Nachotaka Kulima Huko Rushoto na Naweza Fika Kuliona?
 
Mkuu Ni Macho Yangu au Nazeeka Picha Mbona Inaonyesha Shamba Liko Kama Mwenye Miamba na Udongo wa Kokoto Zao Gani?

Nauliza Swali Hilo Kuna Kitu Nachotaka Kulima Huko Rushoto na Naweza Fika Kuliona?
Unaweza fika kuliona panga appointment nikupeleke....udongo sehemu kubwa ni mwekundu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom