wakuu nahitaji shamba la kununua liwe sehemu nzuri linalofaa kwa kilimo
*HABARI NJEMA*
VKP (Real Estate) Company (yenye usajili no. *299964*) iliopo mbezi beach tang bovu ina huduma zifuatazo;
kukopesha mashamba na viwanja kwa bei nafuu bila riba wala dhamana;
miradi ya ujenzi
Upimaji wa Ardhi.
Mashamba yako bagamoyo (fukayosi) 15km kutoka barabara kuu
Kuna plots zipo kigamboni na bagamoyo pia.
*ULIPAJI*
mkopo miez 12 mwezi wa kwanza unalipa 25% then 10% kwa miezi 4, then iliobaki unalipa 5% kwa miez 7...
MASHAMBA yetu yanauzwa kwa sh mil 1.65 kwa eka 1
Eg. Shamba mil.1.65 mwez wa kwanza utalipa 25% Inayofuata- 10% kwa miezi 4, then utalipa 5% mpk mwez wa mwsho.
VIWANJA vimepimwa na kukatwa kwa square meter.
a) *Kigamboni*- makazi 1sqm = 20,000
Makazi na biashara kuelekea kimbiji mtaa inaitwa kidagaa/magenge
C)Eneo lipo
Kata :kerege
Mtaa:tumbo
Umbari:km 9 kutoka barabara kuu ya lami hadi baharini
-6 km kutoka barabara kuu ya lami hadi mradi
-3 km kutoka katika mradi hadi baharini
-sqm 1 ni tsh 15,000/=
-maji ya dawasa yapo
-makazi yapo, miradi mingine ipo inafanyika
D) *Ujenzi* wa nyumba za aina zote na za kisasa kwa mkopo wa miezi 12(mwaka mmoja), gharama zetu ni nafuu sana........!
Utalipa 25% ya gharama zote na hyo 75% iliyobaki itagawanywa ktk miezi 11 iliyobaki ambapo utalipa 10%miez 6 na 5% kwa miez 7 iliobaki ili kukamilisha mwaka mzima.
*MILIKI ARDHI KUANZIA TSH MILLIONI 2 NA KUENDELEA*
*EPUKA UNUNUZI WA VIWANJA/MASHAMBA KWA MADALALI*
*MAWASILIANO ZAIDI:*
+255(0)612183055
+255(0)757783401