wakuu nahitaji shamba la kununua liwe sehemu nzuri linalofaa kwa kilimo
kuna mashamba mapinga ekari moja ni ml 25-30. karibu
wakuu nahitaji shamba la kununua liwe sehemu nzuri linalofaa kwa kilimo
Zipo ekari 50 @ 700,000.00 (Laki saba tu)
Sehemu gani??
wakuu nahitaji shamba la kununua liwe sehemu nzuri linalofaa kwa kilimo
mkuu,nina shamba morogoro wami dakawa,lipo pembeni a mto ,heka 30,linafaa kwa kilimo cha mpunga,na hata mbogamboga,ni shamba zuri sana hutojutia.kutoka wami dakawa barabarani ni kama 5 km,gari inafika mpaka shambani.
bei ni 9m.
0767210378
kama vp njoo zegero ni msanga ndani ndani eka 1 laki 5,nguvu yako tu.
mlandizi unaingia upande wa msanga-0765195219ni wapi huko?weka contacts sasa
mbona hupatikani sasa
mlandizi unaingia upande wa msanga-0765195219
Karibu morogoro, mashamba mkundi na dumila! Bei ni sh. laki 8 kwa heka! Nauli kutoka Moro mjini hadi hapa ni sh. 1500Tshs tu! Ni-PM kama unahitaji.
Kama una interest ya kulima mananasi ya uhakika, kuna mashamba Kiwangwa Bagamoyo. wewe ni PM tu. Mashamba yapo along barabara mpya ya Dar Bagamoyo Msata Moshi.
kunafaa umwagiliaji
kama vp njoo zegero ni msanga ndani ndani eka 1 laki 5,nguvu yako tu.
Hekta 13 za shamba zinauzwa maeneo ya BWAMA (CHANIKA). Ardhi hii bado ni bikra. Bei ya hekta moja ni Tsh 800000/- Kazi kwenu....
Kama una interest ya kulima mananasi ya uhakika, kuna mashamba Kiwangwa Bagamoyo. wewe ni PM tu. Mashamba yapo along barabara mpya ya Dar Bagamoyo Msata Moshi.