Wana JF, nataka kuwekeza kwenye kilimo hapa korogwe kama kuna yeyote mwenye ardhi inauzwa tafadhali ni PM,
- eneo lisiwe umbali unaozidi 20km toka korogwe mjini
- eneo liwe angalau kuanzia eka 4
- lisiwe na mazao ya kudumu kama michungwa au minazi mingi