Natafuta shamba la kukodi Mbeya, Songwe

kijana255

JF-Expert Member
Mar 5, 2017
277
257
Habari wakuu,

Kama kichwa cha habari hapo juu natafuta shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo cha mahindi iwe Mbeya, au songwe kwa mwenye nalo au kama unaweza nisaidia mwaka huu nataka nijikite kwenye kilimo cha mahindi au maharage.

Contact~0673714012.
 
Back
Top Bottom