kijana255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 277
- 257
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari hapo juu natafuta shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo cha mahindi iwe Mbeya, au songwe kwa mwenye nalo au kama unaweza nisaidia mwaka huu nataka nijikite kwenye kilimo cha mahindi au maharage.
Contact~0673714012.
Kama kichwa cha habari hapo juu natafuta shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo cha mahindi iwe Mbeya, au songwe kwa mwenye nalo au kama unaweza nisaidia mwaka huu nataka nijikite kwenye kilimo cha mahindi au maharage.
Contact~0673714012.