Natafuta Shamba Kiwangwa au Msata

Natafuta Shamba Kiwangwa au Msata

Ni shamba! heka moja ni laki 8 zipo heka 30.
Kuna nini hapo shambani inachofanya eka moja kuuzwa shilingi laki 8 mkuu?
Nikimaanisha ni karibu na bonde, kuna maji ya uhakika karibu, barabara inafika shambani n.k.
 
Kuna nini hapo shambani inachofanya eka moja kuuzwa shilingi laki 8 mkuu?
Nikimaanisha ni karibu na bonde, kuna maji ya uhakika karibu, barabara inafika shambani n.k.
Mkuu barabara ipo karibu pia umeme umepita karibu. Hakuna bonde
 
Mwenye Shamba lenye miti mikubwa ekari nne maeneo ya kiwangwa au kama Lugoba/Msolwa(Ekari 1) lenye mawe meusi ni PM.
 
Kuna Mashamba huwa yanauzwa na makampuni haya huwa ni Salama japo bei huwa juu pia uruhusu kulipia kwa awamu hata zaidi ya mwaka.Unaweza jaribu hayo,au nenda eneo husika kutana na wakazi wa kule waelezee shida yako,watakuonyesha mashamba ukiridhika,rudi kinyume nyume siku nyingine kuwapeleleza tena uhalali au uaminifu wa waliokupeleka na umiliki halali wa maeneo hayo.
Wazo zuri mnoo
 
Kuna Mashamba huwa yanauzwa na makampuni haya huwa ni Salama japo bei huwa juu pia uruhusu kulipia kwa awamu hata zaidi ya mwaka.Unaweza jaribu hayo,au nenda eneo husika kutana na wakazi wa kule waelezee shida yako,watakuonyesha mashamba ukiridhika,rudi kinyume nyume siku nyingine kuwapeleleza tena uhalali au uaminifu wa waliokupeleka na umiliki halali wa maeneo hayo.
Me namshauri kama bado hajanunua aende kwa makampuni ya real estate asiogope gharama coz
Usalama ni wa asilimia kubwa kuliko kununua direct kwa watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom