Ottician
Senior Member
- Jul 6, 2019
- 103
- 81
Habari wakuu natafuta shamba la hekari tano linalouzwa ndani ya wilaya ya busega, lisiwe mbali na barabara kuu ya Sirari-Mwanza.
1. Sio lazima liwe limesafishwa
2. Urahisi wa kupata maji
3. Lisiwe na migogoro yoyote ( mimi ni kijana nayejaribu kujikwamua, sitaki kesi)
4. Bei kwa heka moja isizidi 300,000/=
1. Sio lazima liwe limesafishwa
2. Urahisi wa kupata maji
3. Lisiwe na migogoro yoyote ( mimi ni kijana nayejaribu kujikwamua, sitaki kesi)
4. Bei kwa heka moja isizidi 300,000/=