Pinkshlady
Member
- May 20, 2017
- 7
- 6
habari wana JF, bila shaka mu wazima,
nahitaji msaada wenu, natafuta sehemu ya kufungua biashara ya chakula (Mgahawa) naishi Dar kama tapata maeneo ya mwenge, makumbusho, victoria au maeneo ya jirani na hayo
bajeti yangu ni 200.000
Namba zangu 0716044610
nahitaji msaada wenu, natafuta sehemu ya kufungua biashara ya chakula (Mgahawa) naishi Dar kama tapata maeneo ya mwenge, makumbusho, victoria au maeneo ya jirani na hayo
bajeti yangu ni 200.000
Namba zangu 0716044610