secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,612
Hiyo laki tatu per day si ndio.Nimeona hiki kipeperushi kazini. Sehem zinavutia sana ingawa ghali.View attachment 1540004View attachment 1540005View attachment 1540006
Hiyo laki tatu per day si ndio.Nimeona hiki kipeperushi kazini. Sehem zinavutia sana ingawa ghali.View attachment 1540004View attachment 1540005View attachment 1540006
Hiyo laki tatu per day si ndio.
Hotel zipoBukoba ina mandhari nzuri ila hakuna hoteli nzuri
Mi nilikaa golden tulip ya mji mkongwe karibu na forodhani , ni $75 tu, restaurant iko juu ammbapo unapata vii nzuuuuuri ya bandari na bahariNenda opera hotel ipo nugwi Zanzibar hakika utafurahi na hutajuta utatamani kuongeza siku labda salio likate kwa siku inaweza fika 450$ ukikaa week moja ndio uta enjoy zaidi
Nugwi ndio mpango mzima mkuu high season unaweza hisi haupo TZMi nilikaa golden tulip ya mji mkongwe karibu na forodhani , ni $75 tu, restaurant iko juu ammbapo unapata vii nzuuuuuri ya bandari na bahari
Hotel gani nzuri Bukoba?Hotel zipo
Turudi kijijini tukale nao tu.Wakuu ni sehem gani tulivu, standard (nje ya Dar es salaam) ambayo unaweza ukaenda kwa ajili ya vacation na mpenzi wako mwisho wa mwaka? Hoteli standard (sio guest au lodge) ambayo unaeza ukaenda kutulia na mwenzi wako? Dar es salaam vurugu nyingi sipapend, Mwanza Arusha Moshi?! Tupeane machimbo....
Hivi leo Exchange rate ipoje ???.Nenda opera hotel ipo nugwi Zanzibar hakika utafurahi na hutajuta utatamani kuongeza siku labda salio likate kwa siku inaweza fika 450$ ukikaa week moja ndio uta enjoy zaidi
Wakuu ni sehemu gani tulivu, standard (nje ya Dar es Salaam) ambayo unaweza ukaenda kwa ajili ya vacation na mpenzi wako mwisho wa mwaka? Hoteli standard (sio guest au lodge) ambayo unaeza ukaenda kutulia na mwenzi wako? Dar es Salaam vurugu nyingi sipapend, Mwanza Arusha Moshi? Tupeane machimbo.