mjusikenge
Member
- Oct 26, 2016
- 70
- 37
Mkuu mpeleke shule inaitwa alqaem seminary.....na experince na hapo binafsi nilipata one.....kwa sasa ada roughly figure ni km 600000
kama ana matokeo mazuri huko anatoka hyo itakuwa ni ticket ya kupata shule nzuri. kama ni wa kike nakushauri mpeleke huruma or St. Peter claverymkuu hizi shule zote wanaruhusu hata mtoto kuhamia kidato cha tatu?
kwan Alqaem ni boarding siku hz? nlimalizia form IV paleMkuu mpeleke shule inaitwa alqaem seminary.....na experince na hapo binafsi nilipata one.....kwa sasa ada roughly figure ni km 600000
Al qaem allumn, mtoto wa bhanji. Al qaem Ni moja kati ya shule nzuri sana dodoma ila haina bording kama anavyotaka. Ulimaliza mwaka gan ndugu. Mimi 2010Mkuu mpeleke shule inaitwa alqaem seminary.....na experince na hapo binafsi nilipata one.....kwa sasa ada roughly figure ni km 600000
Ulimaliza mwaka gani pale. Mm nilimaliza 2010kwan Alqaem ni boarding siku hz? nlimalizia form IV pale
2007 olevelUlimaliza mwaka gani pale. Mm nilimaliza 2010
Mi ndo nilikuwa naanza fm 12007 olevel
Huruma ada yap sh ngapi?kama ana matokeo mazuri huko anatoka hyo itakuwa ni ticket ya kupata shule nzuri. kama ni wa kike nakushauri mpeleke huruma or St. Peter clavery