Natafuta saketi ya Tecno M9

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,863
Simu yangu ya tecno M9 imekufa hivyo natafuta mtu mwenye saketi aniuzie ili niweze kubadilisha.
 
Hyo ya mwanzo imeathirika na nini au haiwaki kabisa
 
Mkuu hizo simu zilitoka kitambo kidogo na nadhani hazikuwa nyingi, mimi binafsi natumia hiyo simu labda tuongee vizuri unaweza nishawishi nikakuzia yangu,ipo fresh haiana hata mchubuko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…