Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 607
- 1,097
Mimi naishi Marekani na nina miezi 2 nikiwa kama raia wa marekani.
Nataka roommate.
Roommate hutohusima kulipia bills yeyote ila tu nataka mtu(KE) wa kuishi nae kwa muda mfupi ambao unajitafuta chini ya miezi sita.
Kama ndo bado unawaza wapi pakufika au kuanzia maisha nchini Marekani natoa nafasi ya chuma kwa mtu mmoja ndani ya miezi sita.
Mimi napenda sana kusaifiri so nahitaji kampani ya mtu wa kuishi kwangu.
Nimepanga nyumba ina vyumba 2 ila maswala ya bills yeyote hutohusika.
Kama kuna mtu unamfahamu au unampngoa wa kujana na huna pa kufikia, Fanya tujadili zaidi PM.
Update kwa watu ambao wanafikiri niko hapa kuweka Fix
Ya kwanza ni pesa nimefanyia kazi ndani ya miezi sita mwaka huu wa 2023
Picha ya pili ni pesa niliotuma Tanzania kupitia sendwave ndani ya miaka miwili.
Tatu ni bank statement
View attachment 2832607
Nne ni chakula ninachonunua Doordash maana sipend sana kupika.
Tano ni Bill ya umeme kila mwezi.
Nataka roommate.
Roommate hutohusima kulipia bills yeyote ila tu nataka mtu(KE) wa kuishi nae kwa muda mfupi ambao unajitafuta chini ya miezi sita.
Kama ndo bado unawaza wapi pakufika au kuanzia maisha nchini Marekani natoa nafasi ya chuma kwa mtu mmoja ndani ya miezi sita.
Mimi napenda sana kusaifiri so nahitaji kampani ya mtu wa kuishi kwangu.
Nimepanga nyumba ina vyumba 2 ila maswala ya bills yeyote hutohusika.
Kama kuna mtu unamfahamu au unampngoa wa kujana na huna pa kufikia, Fanya tujadili zaidi PM.
Update kwa watu ambao wanafikiri niko hapa kuweka Fix
Ya kwanza ni pesa nimefanyia kazi ndani ya miezi sita mwaka huu wa 2023
Picha ya pili ni pesa niliotuma Tanzania kupitia sendwave ndani ya miaka miwili.
Tatu ni bank statement
View attachment 2832607
Nne ni chakula ninachonunua Doordash maana sipend sana kupika.
Tano ni Bill ya umeme kila mwezi.