miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
aaaaaaaaah...aje kuwa kama ndugu yangu jamani msikalili maisha
Hakuna anayekariri...Sio lazima aje kuwa ndugu,anaweza kuwa adui vile vile!!!!!
aaaaaaaaah...aje kuwa kama ndugu yangu jamani msikalili maisha
bora mie zombi kuliko wewe MSUKULE.....taila weweeee....usiyejua nn maana ya forum kama hii...hivi unadhani kila mtu anasapot ----ing like that...
Kweli ujana ni sawa na uchizi
you are so matured. i'm proud of you.haahahaahaahaa! Hujui ulitendalo! Umesamehewa!
you are so matured. i'm proud of you.
ushachukua namba wewe!Mh! Utakuwa zombie wewe!
Baadae awe more than rafiki.......mmmh!
Sijazoea kudanganywa ila nakuthikitia tu wewe domo Zenge,mtaani umeshindwa utaweza humuit is not fake kila kitu ni real kama unabisha check joseph mayuni na hautakuta fake details hat moja...si kila mtu ni fake...ushazoea kudanganywa eti....
Sijazoea kudanganywa ila nakuthikitia tu wewe domo Zenge,mtaani umeshindwa utaweza humu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
ushachukua namba wewe!
sijaweka hii post ili unitukane...mbona wengene mnapenda kutafuta umaarufu kwenye post za watu...come fe de mode noume le feela conza fesando
Mh! Utakuwa zombie wewe!