Rio Shabazz
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,334
- 2,169
- Thread starter
- #21
Ndo mm sasa
hapana yule jina lake siyo hiloKale kajamaa nikikaona kabla hakajachekesha nacheka
Ndo mm sasa
Siku hyo nlikuwa natafuta picha ya kuweka avatar nkiaangalia gallery imejaaa vitu vyenye uhusiano na kazi zangu tu! Nkazama Facebook nkakutana na hyo😁 nashukuru inaniwakilisha vemahapana yule jina lake siyo hiloKale kajamaa nikikaona kabla hakajachekesha nacheka
Siku hyo nlikuwa natafuta picha ya kuweka avatar nkiaangalia gallery imejaaa vitu vyenye uhusiano na kazi zangu tu! Nkazama Facebook nkakutana na hyo nashukuru inaniwakilisha vema
Hellow na mimi nnashida kama yako jaman
Ndo hvo mwangundio nadhan naww akili yako mnafanana nakuangaliaga comment zako
Ndo hvo mwangu
Siri yangu ni kwamba jana nimelala njaa nipo Kahama bijampola naomba uje unipe fedha kidogo nile leouwambie watu kwanza hiyo
siri yako
Asiwe anaomba Hela Wala mtoto
Mmmhh
Siri yangu ni kwamba jana nimelala njaa nipo Kahama bijampola naomba uje unipe fedha kidogo nile leo
Siri yangu ni kwamba jana nimelala njaa nipo Kahama bijampola naomba uje unipe fedha kidogo nile leo
Karibu uwe rafiki kwangu
Karibu uwe rafiki kwangu
Chief hujaeleweka. Rafiki wa kike au mwanaume!Nina changamoto ya kushindwa kutoka nje yaani nakaa ndani sana nikitoka mjini mara moja au kwa shida maalum.
Sasa nimeambiwa hili tatizo litaniletea madhara!!Hivyo nahitaji rafiki yeyote wa kuchat naye asiwe anaomba hela wala mtoto
Nawasilisha
Chief hujaeleweka. Rafiki wa kike au mwanaume!
Ok, karibu sana hapa hapa kwenye uzi wako, maana wengine tunapenda kuchaat PM tatizo kuna mapunga pia hujitokeza kwa lengo la kuchat kumbe yanataka mtu wa kumpelekea moto. Tuchat kiume.rafiki hana jinsia mkuu