Natafuta rafiki wa kiume

Hizo sifa ninazo lakini unataka kunikabidhi moyo wako niupeleke wapi? UFAFANUZI tafadhali

kama hujaelewa hiyo statement, automatically umekosa sifa. We unaonesha utakuja kunisumbua badae. Hakika sikuwezi mie,,,
 
NJOO DDC KARIAKOO JIONI,:clap2: ULE UPANDE WALIOKUWA WANAUZA KIBUKU ZAMANI ,MARAFIKI TUPO:clap2::clap2::clap2::clap2:
 
yani mie mwenyewe nakaa kwetu sa si itakua balaa hiyo

du itakuwa ngumu sana kwangu, maana nilikuwa natafuta mwenza mdogo ambaye anamiliki acommodation yake, mi nina mke na watoto, sitaweza mudu kulipia nyumba nyingine (haujasema kama tuliooa tusiingie kwenye kinyang'anyiro ulichotangaza, am I correct?).
 
Fisi wameona mzoga yaani ni balaa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
baada ya kutumika sana na kutelekezwa umekuja hapa jamvini kwa style nyingne kuwakamata waume wa watu.
 
Hivi kwenye bandiko sijaandika waume wa watu hawaruhusiwi......

watoto siyoshida as long as mama yao haupo nae yan mumeachana

Haujaandika bhana, kwa hiyo mimi ni mume wa mke mmoja na watoto 10. Nina uzoefu wa ku care, kusocialize. Nipe nafasi kwani siji kujifunza bali kukupatia kile ulichokikosa.
 
baada ya kutumika sana na kutelekezwa umekuja hapa jamvini kwa style nyingne kuwakamata waume wa watu.

Hahahahahahaha,

Mkuu ushapigwaga changa la macho nini?

mana naona kama unajibu kwa experience vile. Any ways wewe ndo wale ambao wanakariri na hivyo automatically umekosa hii nafasi.
 

Je?uko tayari kuolewake wa pili.
 
Mimi nina miaka 40, nina sifa zote lakini naonja kinywaji kidogo, je nina nafasi yoyote hapo?
 
Hahahahahahaha,

Mkuu ushapigwaga changa la macho nini?

mana naona kama unajibu kwa experience vile. Any ways wewe ndo wale ambao wanakariri na hivyo automatically umekosa hii nafasi.
Achana naye. Nijibu bibie mwenzio nasubiri..
 

Hivi 'rafiki wa kiume' ndo 'boyfriend' eeh? me nakushauri tafuta 'mpenzi' ndo umukabidhi moyo wako, sio kumkabidhi 'rafiki' ambae inawezekana tayari keshakabidhiwa moyo na mwandani wake. Otherwise, kuwa muwazi tu kuwa unatafuta 'bwana' musaidiane 'mambo mbali mbali'
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…