halafu watakwambia pesa sio muhimu kwenye mapenzi lol
Kwa nin hauwataki wahaya? Wahaya wanakasoro gani kwako?mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.
1 miaka 33-37
2 mkristo
3 awe financial stable
4 mpole kiasi asiwe anachonga sana
5 asiwe muhaya
6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivu
mimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
nakutakia mafanikio mema,ila jamani kwani wahaya wana kasoro gani? 29 bado kigoli kabisa,utampata tu.ila kwa jf sijui,maana unaweza ukatendwa.w.ke tunakuwa serious ila w.me huwa wao hawapo serious