Natafuta rafiki wa kike

yule mbulula unaachana nae ukibishana nae utaonekana chizi......
ndo maana nimemwachia jukwaa aendelee kutukana akimaliza moja kwa
moja leba akajifungue mapacha wake

unakumbuka lile varangati langu? Nahisi ni huyohuyo amekuja kivingine! Maana wanafanana kuanzia kutukana hadi kuanzisha thread baada ya ugomvi.
 
Mrembo by Nature mi mwenyewe nimeamua nikimbie tu uwanjani kwetu
nipunguze unene niachane nae tu!!!!!!

Hahaha watu na team zao bwana, yani kwenye makundi ya facebook hadi wanataka kutoana roho kisa ushabiki....kweli ni majanga kwani watu fulani kwa maslahi yao wamekaa mahali na kufanya yao nyie kichwa kichwa mnaingilia oohhh tema sijui kukonda, ohh team sijui smoke hayeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom