Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,943
- 93,864
Hajui kama watu tumechoka humu, anatutishia nyau
Yaani na tukitishiwa nyau ndio kwanza tunamtafuna...habaki hata mfupa!!!
Hajui kama watu tumechoka humu, anatutishia nyau
hahahahahah mtu mzima hatishiwi nyau lol.Hajui kama watu tumechoka humu, anatutishia nyau
Hivi noma maana yake ni nini vile?
No money? Mh! Lugha ngumu
Noma maana yake vibaya,balaa,inashangaza
hahahahahah mtu mzima hatishiwi nyau lol.
Yaani na tukitishiwa nyau ndio kwanza tunamtafuna...habaki hata mfupa!!!
hahahahahaha huenda ana tatizo unajua wengine huwa wanashindwa kucontrol hisia zao.Hahaha mwenyewe amekuwa mdogo, kuna mwingine huko jukwaa la celebrity naona ana mimba ya mapacha anatukana watu kwa kwenda mbele naona naye anahitaaji tiba atulie...sijui limao? Heaven on earth tusaidie tiba gaani tumpatie yule mbulula
Kuna mgonjwa kichaa kimempanda huko celebrities wahi ukampe tiba aatulie la sivyo anakaribiaa kuvua nguO. Omba msaadaa wa Elungata
hahahahahaha huenda ana tatizo unajua wengine huwa wanashindwa kucontrol hisia zao.
Muda wangu wa kuangusha huu...endelea na lindo...hahaha huyo ndugu yenu wa huko Celebrities nitamkodolea macho kesho!!!
Sina vigezo dear maana umri wangu uko juu . Hata hivyo mimi huwa sichati hata kidogo. Nimeona celebrity. Watu wanataka kutoana nundu lol. Hawa wanaotetewa wangejua wana wapenzi wengi wangeacha bifu zao tu ili wapenzi waendelee kufurahia shoo zao.Yani JF imejaza, ila huyu anaonekana mpole...hebu mfikirie swala zima la rafiki wa kuchat...si unajua tena
Sina vigezo dear maana umri wangu uko juu . Hata hivyo mimi huwa sichati hata kidogo. Nimeona celebrity. Watu wanataka kutoana nundu lol. Hawa wanaotetewa wangejua wana wapenzi wengi wangeacha bifu zao tu ili wapenzi waendelee kufurahia shoo zao.
umeona eeeeeh, hawa wanapata mihela sisi tunatukanana acha kabisaHahahahahaha yaniiiii mie thimooo nachumiaa langu tumbo, huo muda wa kubishana si heri nikafanye mazoezzi nipunguze nyama uzembe
Jamani ebu nisaidien nn chanzo cha "Love"
Hahaha mwenyewe amekuwa mdogo, kuna mwingine huko jukwaa la celebrity naona ana mimba ya mapacha anatukana watu kwa kwenda mbele naona naye anahitaaji tiba atulie...sijui limao? Heaven on earth tusaidie tiba gaani tumpatie yule mbulula