salosalo
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 596
- 278
Hizo za siku hizi zikoje.Kwanza inaonyesha wewe bado mtoto mdogo nikibishana na wewe ni kupoteza wakati nisije kuwa nabishana na mtoto wa chekechea humu.
Kama nilivyowaza kuawa wewe utakuwa umekuja kutafuta msaana wa jinsi ya KUTON**ZA, sikufundishi. Badilisha kwanza maelezo yako ya awali. Yasomeke unaomba msaada wa jinsi ya Kuton**za. la sivyo utaendelea kupigwa vibuti na chaga za mbavu hivyohivyo