MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,860
Cool Gentleman, masharti yako makubwa maana inatukwaza wengi tu, tunabaki tunaangalia tu maana kuna wengine mistari yote ya 2 to 8 inatuacha!
Last edited by a moderator:
Cool Gentleman, masharti yako makubwa maana inatukwaza wengi tu, tunabaki tunaangalia tu maana kuna wengine mistari yote ya 2 to 8 inatuacha!
Haya ngoja tudraft application letter
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.
Sifa zake:
- Awe na Umri usiopita miaka 40
- Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
- Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
- Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
- Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
- Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
- Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana
Sifa zangu:
- Umri wangu miaka kati ya 45-50
- Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
- Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
- Sina mke
- Nina watoto wawili
Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com
PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously
uliyezaa nae hao watoto wawili, amekosa sifa?
Unajua jadi ya kiafrika Mwanamke Kumtongoza Mwanaume ni ngumu kidogo, ngoja nilianzishe kwenye PM. lol
mimi ni kama unavoniona hapo kwa avatar yaani sifa zote ninazo .....watoto wa kike au wa kiume?
weka na kipengele cha mizinga kabisa...then nitafikiria
MadameX you are not serious. Kwanza hakuna Mstari No. 8.
Kama dondoo namba 6 na 7 inakuacha, hakika sina cha kukusaidia. Kila la heri.
Mkuu unazidi kunikatisha tamaa, hilo la 6 na 7 naweza kujifunza si unajua tushazoea mambo ya utapeli tapeli lakini uwezekano wa kubadilika upo. Usinivunje matumaini.
Cool Gentleman, masharti yako makubwa maana inatukwaza wengi tu, tunabaki tunaangalia tu maana kuna wengine mistari yote ya 2 to 8 inatuacha!
safi napenda sana watoto wa kiume....ni rahisi kuishi naoni kweli sehemu zinazoonekana ziko vizuri, ingawa sura yako sina uhakika. Na miguu je? Haaaa haaaa (natania).
Nina watoto wawili wa kiume.
MadameX si mimi ninayekukatisha tamaa ni wewe mwenyewe katika moja ya post yako uliandika:
Sasa mimi nakukatisha tamaa kivipi? Nilikuwa nashangaa kuwa kweli huwezi hata kupendwa ukapendeka? Kudekezwa ukadeka?