Would you send this advert to www.bongodating.blogspot.com as well?
Mimi nitaenda nje kidogo ya mada. Nimeoa nakaa dar. Hivi kwa wenzangu walio oa ni kawaida kwa mwanaume kumpa hela mkewe kila mwezi? Mimi ninafanya hivyo kila mwanzo wa mwezi (200,000) sasa juzi juzi hapa (miezi 3 imepita) kaanza kulalamika eti haitoshi nimuongezee. Yeye ana kazi yake mwenyewe ila ukweli ni kuwa mshahara wake kwa mwezi hata robo tu hauufikii wangu.Hili suala limeshakuwa kero kwangu. Ninafikiria kuacha kumpa kabisa. Kaja na historia ya akina mama wenziwe ninaowajua wanapewa 400,000 au zaidi. Mfumo huu niliuanzisha mwenyewe kwa kuwa wakati nakua baba yangu mzazi alikuwa anafanya hivyo. Je ni mimi tu nimekuzwa hivyo au ni kawaida kabisa kwa waliooa kufanya hivyo? Naweza kumwambia bila matatizo kuanzia leo upati kitu fanya utakalo.
Usiache kumpa kama kipato chako kinakuruhusu. Naona scenarios 2 hapa. Kwanza ni tamaa. Asijilinganishe na wanawake wengine, huo ndio mwanzo wa tamaa, tunatofautiana vipato hivyo si rahisi kila mwanamke kupata kile ambacho mwanamke mwenzie anapata: kuna wengine hawapati kabisa... je anaweza kukuambia naomba usinipe pesa kwa vile mama fulani hapewi pesa na mumewe?
Pili, Pengine anavyokueleza kuwa wanawake wengine wanapewa 400,000 hamaanishi wanawake...je kama kuna jibaba limemwahidi kumpa hizo lakini inaonyesha kuwa anakupenda so kuliko kupata hizo lakini 400,000 toka nje, ni bora apate hata kama ni 250,000 au 300,000 toka kwako.
Kwa swali lako kama ni kawaida kupewa pesa kila mwezi naona umewalenga zaidi wanaume. Ila kukupa mfano wangu ni kwamba napewa 2/3 ya mshahara wa mume wangu kila mwisho wa mwezi. Tulikaa chini tukapiga hesabu kutokana na mshahara wake na wangu na ukubwa wa familia yetu.
Mimi nitaenda nje kidogo ya mada. Nimeoa nakaa dar. Hivi kwa wenzangu walio oa ni kawaida kwa mwanaume kumpa hela mkewe kila mwezi? Mimi ninafanya hivyo kila mwanzo wa mwezi (200,000) sasa juzi juzi hapa (miezi 3 imepita) kaanza kulalamika eti haitoshi nimuongezee. Yeye ana kazi yake mwenyewe ila ukweli ni kuwa mshahara wake kwa mwezi hata robo tu hauufikii wangu.Hili suala limeshakuwa kero kwangu. Ninafikiria kuacha kumpa kabisa. Kaja na historia ya akina mama wenziwe ninaowajua wanapewa 400,000 au zaidi. Mfumo huu niliuanzisha mwenyewe kwa kuwa wakati nakua baba yangu mzazi alikuwa anafanya hivyo. Je ni mimi tu nimekuzwa hivyo au ni kawaida kabisa kwa waliooa kufanya hivyo? Naweza kumwambia bila matatizo kuanzia leo upati kitu fanya utakalo.
To be fair kwake pia ana majukumu home kama kununua chai na kitafunio mwezi mzima kila siku, bili ya maji, etc
Mimi nitaenda nje kidogo ya mada. Nimeoa nakaa dar. Hivi kwa wenzangu walio oa ni kawaida kwa mwanaume kumpa hela mkewe kila mwezi? Mimi ninafanya hivyo kila mwanzo wa mwezi (200,000) sasa juzi juzi hapa (miezi 3 imepita) kaanza kulalamika eti haitoshi nimuongezee. Yeye ana kazi yake mwenyewe ila ukweli ni kuwa mshahara wake kwa mwezi hata robo tu hauufikii wangu.Hili suala limeshakuwa kero kwangu. Ninafikiria kuacha kumpa kabisa. Kaja na historia ya akina mama wenziwe ninaowajua wanapewa 400,000 au zaidi. Mfumo huu niliuanzisha mwenyewe kwa kuwa wakati nakua baba yangu mzazi alikuwa anafanya hivyo. Je ni mimi tu nimekuzwa hivyo au ni kawaida kabisa kwa waliooa kufanya hivyo? Naweza kumwambia bila matatizo kuanzia leo upati kitu fanya utakalo.
To be fair kwake pia ana majukumu home kama kununua chai na kitafunio mwezi mzima kila siku, bili ya maji, etc
Muweke!!!!
Widen your search kaka, toa vigezo visivyo na umuhimu such as nationality na degree priority, pia umri anzia 19 to 26!! then utafanya filtering mwenyewe!! Good luck!!
Naona wale wadau wote mliokuwa mnatafuta wenza kupitia baraza hili mmekaa kimya, pasi na shaka mmeshawapata wale mliokuwa mnawatafuta.
Invisible ushapata?
Kila la kheri
Naona wale wadau wote mliokuwa mnatafuta wenza kupitia baraza hili mmekaa kimya, pasi na shaka mmeshawapata wale mliokuwa mnawatafuta.
Invisible ushapata?
Kila la kheri
Dah!
Mshkaji nilipata ndo maana kwenye hiki kibaraza nilipotea kwa muda ila yaliyonikuta hayafai kusimulia kabisa!
So, that is to say bado naendelea kutafuta manake sikupata kile ninachokitaka ila ni utumbo na uozo mtupu tu ndo niloambulia!
What about you IDIMI?
Mzee naona unaweka mitego hapo mwanangu ila usihofu utawanasa tuu. Kama ni rafiki wa kushauriana naye pia wakubwa zaidi ya 30yrs wanaweza kukupa constructive ideas bila shaka. Au sio ushauri wa kawaida? Nakutakia kila la kheri mwana.