Natafuta pilipili

Natafuta pilipili

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
453
Reaction score
685
Habar ya jumatatu.naomba kuunganishwa na mkulima wa pilipili zile ndefu zinazopendwa na wahindi sio pilpil mbuzi mi niko dsm popote nitafuata.0657536080.nimeshindwa kuweka sample pic
 
Habar ya jumatatu.naomba kuunganishwa na mkulima wa pilipili zile ndefu zinazopendwa na wahindi sio pilpil mbuzi mi niko dsm popote nitafuata.0657536080.nimeshindwa kuweka sample pic
Unatafta kiasi gani? Zipo morogoro maeneo ya kingolwira kuna Mzungu ndo kilimo chake!
 
Unatafta kiasi gani? Zipo morogoro maeneo ya kingolwira kuna Mzungu ndo kilimo chake!
kwa kuanza nataka viroba vya kilo hamsini vinne bei gani mkuu
 
Habar ya jumatatu.naomba kuunganishwa na mkulima wa pilipili zile ndefu zinazopendwa na wahindi sio pilpil mbuzi mi niko dsm popote nitafuata.0657536080.nimeshindwa kuweka sample pic

Ngoja nikusaidie...

upload_2018-3-26_19-29-6.jpeg
 
Unatafta kiasi gani? Zipo morogoro maeneo ya kingolwira kuna Mzungu ndo kilimo chake!
Jamani tulime, huyu mzungu hauzii soko la ndani, wako wapi wakulima waipate hii opportunity, na mimi nahitaji sana, tena kwa wingi
 
Jamani tulime, huyu mzungu hauzii soko la ndani, wako wapi wakulima waipate hii opportunity, na mimi nahitaji sana, tena kwa wingi
unanunua kg sh ngap? me nina zile za mwendokasi /za njano vp hazikufai?
 
Mkuu#Eliza naona unatambaa na nyota yangu b gup.
 
Jamani tufahamishane soko lake la nje ni wapi? Haya mambo tunalima Mahindi nchi nzima sio dili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom