Elezea vizuri mkuuAbar wakuu natafta business partner ambae tutashilikiana kweny biashara na kugawana pacent
Abar = HabariAbar wakuu natafta business partner ambae tutashilikiana kweny biashara na kugawana pacent
Hahaha hesabuAbar = Habari
Ambae = Ambaye
Tutashilikiana = tutashirikiana
Kweny = kwenye
Pacent = percent
Kati ya maneno 12 uliyoandika, umekosea maneno 5.
Percentage error = (5/12) X 100%
%Error = 41.67%
Form one hiyo mkuuHahaha hesabu
Hahahah duhAbar = Habari
Ambae = Ambaye
Tutashilikiana = tutashirikiana
Kweny = kwenye
Pacent = percent
Kati ya maneno 12 uliyoandika, umekosea maneno 5.
Percentage error = (5/12) X 100%
%Error = 41.67%
"natafta" hujaiona mkuu?Abar = Habari
Ambae = Ambaye
Tutashilikiana = tutashirikiana
Kweny = kwenye
Pacent = percent
Kati ya maneno 12 uliyoandika, umekosea maneno 5.
Percentage error = (5/12) X 100%
%Error = 41.67%
daaahAbar = Habari
Ambae = Ambaye
natafta = natafuta
Tutashilikiana = tutashirikiana
Kweny = kwenye
Pacent = percent
Kati ya maneno 12 uliyoandika, umekosea maneno 6.
Percentage error = (6/12) X 100%
%Error = 50%
Utafanya biashara kweli ya mtaji wa 10m kama kuandika tu huwezi?Biahara ya kununua na kuuza mtaji inatakiwa kianzio m10
Abar wakuu natafta business partner ambae tutashilikiana kweny biashara na kugawana pacent
Abar = Habari
Ambae = Ambaye
natafta = natafuta
Tutashilikiana = tutashirikiana
Kweny = kwenye
Pacent = percent
Kati ya maneno 12 uliyoandika, umekosea maneno 6.
Percentage error = (6/12) X 100%
%Error = 50%
Mkitapeliwa mnaanza kulalamika au na wewe ni walewale..Funguka biashara gani mkuu...? Kama inatija tushirikiane
Kwanza hiyo biashara ya kugawana % ni biashara gani hiyo?Abar wakuu natafta business partner ambae tutashilikiana kweny biashara na kugawana pacent
Mkitapeliwa mnaanza kulalamika au na wewe ni walewale..