Nazaely shani
Member
- Jun 12, 2020
- 7
- 4
Habari wana JF Mimi ni mwanachuo katika chuo kikuu cha st Joseph kipo mbezi kimara,Dar es salaam.
Nahitaji partner .ambae tunaweza kufanya biashara pamoja ya kuuza mafuta ya alizeti kwa sababu Mimi ni mwenyeji pia wa mkoa wa singida na mafuta yanapatikana kwa wingi huko.
no yangu ni 0657169715
E-mail nazaelyshani@gmail.com
Nahitaji partner .ambae tunaweza kufanya biashara pamoja ya kuuza mafuta ya alizeti kwa sababu Mimi ni mwenyeji pia wa mkoa wa singida na mafuta yanapatikana kwa wingi huko.
no yangu ni 0657169715
E-mail nazaelyshani@gmail.com