Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
habari zenu
natafuta nyumba ya kupanga bei iwe kati ya 250,000 hadi 300,000 TZS
ikiwa chini ya hapo pia itakuwa vizuri zaidi. maeneo ya Makumbusho, Victoria
K,nyama au changanyikeni na maeneo mengine karibu na hayo.
mwenye kujua anaweza kuniambia ASANTE
natafuta nyumba ya kupanga bei iwe kati ya 250,000 hadi 300,000 TZS
ikiwa chini ya hapo pia itakuwa vizuri zaidi. maeneo ya Makumbusho, Victoria
K,nyama au changanyikeni na maeneo mengine karibu na hayo.
mwenye kujua anaweza kuniambia ASANTE