King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Hahaha waswahili bwana. Sasa yeye kaanzisha uzi, wewe unadai haki kumzidi. Duuuh!
Kwani umeambiwa wewe?
Hii nyumba naitaka mimi, labda kama unata tukae wote.
Na kama ina chuma kimoja tu cha kulala itabidi tu-shee hichohicho, au vipi??