Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
Umefanikiwa au ulikua unafanya utafiti? sijapata simu yako au kwa nini usiweke namba yako ya simu. Nisiseme sana pengine wakati unatafuta nyumba wakati huo huo unatafuta na kodi pia. Ndiyo maana watu wa Real Estate huwa watoza ada kidogo ili kama mtu anakuja kufanya utafiti asiondoke hivi hivi bila kuacha kitu kidogo. Karibu.