Natafuta nyumba ya kununua

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,833
  • Iwe Dsm
  • Iwe Kigamboni, Changanyikeni, Kawe, Makongo Juu, Mbezi Beach, Goba, Salasala, Tegeta, Wazo, Mbweni, Boko, au Bunju.
  • iwe na eneo la kutosha
  • iwe inafikika kwa gari (gari iingie hadi ndani, sio mambo ya kupaki CCM)
  • Iwe fenced
  • Iwe na umeme
  • Iwe na maji
Kwa mawasiliano, wasiliana piga 0717-0767 45 44 55
 
  • Iwe Dsm
  • Iwe Kigamboni, Changanyikeni, Kawe, Makongo Juu, Mbezi Beach, Goba, Salasala, Tegeta, Wazo, Mbweni, Boko, au Bunju.
  • iwe na eneo la kutosha
  • iwe inafikika kwa gari (gari iingie hadi ndani, sio mambo ya kupaki CCM)
  • Iwe fenced
  • Iwe na umeme
  • Iwe na maji
Kwa mawasiliano, wasiliana piga 0717-0767 45 44 55
Ninayo ila ipo mbagala

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
  • Iwe Dsm
  • Iwe Kigamboni, Changanyikeni, Kawe, Makongo Juu, Mbezi Beach, Goba, Salasala, Tegeta, Wazo, Mbweni, Boko, au Bunju.
  • iwe na eneo la kutosha
  • iwe inafikika kwa gari (gari iingie hadi ndani, sio mambo ya kupaki CCM)
  • Iwe fenced
  • Iwe na umeme
  • Iwe na maji
Kwa mawasiliano, wasiliana piga 0717-0767 45 44 55
Ila pia kua makini na wenyenyumba feki (matapeli),
Unaeweza kujikuta unamlipa mwenye nyumba feki, akiwa na documnts feki mbele ya mashahidi feki na ofisi za serikali za mtaa feki.
 
0787 403768
23b94123379b6c35e36b756259807ca4.jpg
abaf0eb796e9871b2d4fea28382b48ee.jpg
2644075975d6a2711a89932f7a9def81.jpg
e46665db68a0d074ba189c5ce5958e92.jpg
f00f880c72f1b4e1c2d0ba5cc2842205.jpg
9035b4090d46d1f31f852236dc66bff0.jpg


Ipo kimara-matosa road changarawe
 
Ila pia kua makini na wenyenyumba feki (matapeli),
  • Unaeweza kujikuta unamlipa mwenye nyumba feki, akiwa na documnts feki mbele ya mashahidi feki na ofisi za serikali za mtaa feki.
  • :)
  • Asante kwa angalizo
 
Miss n tafuta kumbe ester miguu minene dah

Hapa tunaongelea biashara ya nyumba mkuu mambo ya miguu minene ya Miss Natafuta baadae. Hata hivyo kutajana majina inakatazwa kwa kanuni za JF.

Hata kama kasema namba kapewa na Ester, unajua kama huyu ndio yeye? Kuwa makini kidogo mkuu.
 
Back
Top Bottom