Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
wakuu mi nipo DSM nataka kula nyama ya porini kama ya swala au nyati au mnyama yeyote wa pori anayeliwa na jamii ya Kitanzania.
naomba mwenye kujua inapouzwa hapa town anipe msaada. ila nahitaji iwe mbichi.
Nadhani utakuwa unawatafutia watu matatizo maana hii kitu ukikamatwa unauza,ni balaa.Nahivi sasa maliasili kwenyewe kuna waka moto kila kukicha.
Bitabo mimi ninafahamu na jana nilinunua ya nyati iliyo kaushwa....ila kukulengesha.....still downloading................please wait........mpaka unihakikishie wewe siyo kagasheki!!
Mkuu natafuta kama kilo 5 tu ya kula na familia wala sina mpango wa kuungana na Kagasheki au Maige wala sitaki kwenda kwa Kinana.
Download then unisendie ujumbe
piga no hii. 0754254188.utapata nyama ya kuchoma au mbichi.maeneo ya kituo cha africana mbezi beach.wahi fasta msimu wa kuwinda unaisha 31 dec.ipo sehemu nyingine karibu na gate la bahari beach lakini pale ni ya kuchoma tu.