Natafuta nemory card

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Sep 11, 2010
4,271
2,401
Ni ya simu. Niliharibu kupita kkoo na kuangalia ni ioi bora nikashindwa nikaona nije kuuliza wataalam humu. Ninunue card aina gani?
 
Siku hizi tecno zinatumia nemory card, any way rudi huko huko kko kuwa rist taker nunua yeyote ikifa basi rudi tena hakuna namna
 
Tecno kwa vitu vipya hatari,wamekuja na nemory card?.
Nenda ulikonunua ulizia nemord card au umenunua mkononi.
 
Ni ya simu. Niliharibu kupita kkoo na kuangalia ni ioi bora nikashindwa nikaona nije kuuliza wataalam humu. Ninunue card aina gani?
Jaribu kupitia maduka ya camera mkuu angalau unaweza ukapata memory card nzuri. Unataka ya kazi gani? Maana sasa hivi tunaweza kuzi categorize memory card katika mafungu matatu.

1. Memory card za Application
Hizi zinakuwa na uwezo mkubwa wa kusoma mafile madogo madogo kwa haraka, ni nzuri kama unataka memory card kwa ajili ya kueka apps na software hasa kwa wale ambao simu zao zina storage ndogo. Utaijua kwa kalama A1 ama A2 kwenye memory card.

2. Memory card za video (camera)
Hizi ni kwa ajili ya camera ama simu zenye uwezo mkubwa wa kuchukua video na picha kama vile simu zenye 4k ama camera kubwa mp20 na kuendelea. Hizi utazijua kwa Alama V mbele ya memory card mfano V30

3. Memory card za kawaida matumizi yote, hizi zinakuwa na class kama 2, 4, 6, 8, 10 U1 U3 etc

Hivyo memory card ya kisasa all purpose ina rating ya U3, v30, A2 kama hii picha

sandisk-extreme-microsd-400gb-700x700.png


Ila bei yake nayo inakuwa ghali, hivyo angalia mwenyewe matumizi yako unataka nini, ushauri wangu minimum iwe class 10, zunguka uhuru kwenye maduka ya camera yenye stika za njano njano utapata.
 
Jaribu kupitia maduka ya camera mkuu angalau unaweza ukapata memory card nzuri. Unataka ya kazi gani? Maana sasa hivi tunaweza kuzi categorize memory card katika mafungu matatu.

1. Memory card za Application
Hizi zinakuwa na uwezo mkubwa wa kusoma mafile madogo madogo kwa haraka, ni nzuri kama unataka memory card kwa ajili ya kueka apps na software hasa kwa wale ambao simu zao zina storage ndogo. Utaijua kwa kalama A1 ama A2 kwenye memory card.

2. Memory card za video (camera)
Hizi ni kwa ajili ya camera ama simu zenye uwezo mkubwa wa kuchukua video na picha kama vile simu zenye 4k ama camera kubwa mp20 na kuendelea. Hizi utazijua kwa Alama V mbele ya memory card mfano V30

3. Memory card za kawaida matumizi yote, hizi zinakuwa na class kama 2, 4, 6, 8, 10 U1 U3 etc

Hivyo memory card ya kisasa all purpose ina rating ya U3, v30, A2 kama hii picha

sandisk-extreme-microsd-400gb-700x700.png


Ila bei yake nayo inakuwa ghali, hivyo angalia mwenyewe matumizi yako unataka nini, ushauri wangu minimum iwe class 10, zunguka uhuru kwenye maduka ya camera yenye stika za njano njano utapata.

Chief-Mkwawa leo kiongozi kusema ukweli nimepata kitu ambacho sikua nakijua kabisa kabisa,sasa hapo mkuu nina swali yani wakati naendelea kusoma ikabidi niamke niangalie memory zangu zote, nikakuta nyingine zina ki no.6 kmezungushiwa duara nyingine 10 ila sjaona ya U1 wala U3 sasa hizo mkuu zinapatikana wapi??

Halafu pale juu kwenye zile memory kwa ajili ya Storage ya kwenye simu nazo zinapatikana wapi chief,Pia kuna madhara yoyote kama kuwahi kufa kwa memory au kupoteza uwezo endapo nitatumia memory ya Group 1 kufanyia kazi ya Group.

Zaidi nikupe salute kwa somo hili mkuu.
 
Jaribu kupitia maduka ya camera mkuu angalau unaweza ukapata memory card nzuri. Unataka ya kazi gani? Maana sasa hivi tunaweza kuzi categorize memory card katika mafungu matatu.

1. Memory card za Application
Hizi zinakuwa na uwezo mkubwa wa kusoma mafile madogo madogo kwa haraka, ni nzuri kama unataka memory card kwa ajili ya kueka apps na software hasa kwa wale ambao simu zao zina storage ndogo. Utaijua kwa kalama A1 ama A2 kwenye memory card.

2. Memory card za video (camera)
Hizi ni kwa ajili ya camera ama simu zenye uwezo mkubwa wa kuchukua video na picha kama vile simu zenye 4k ama camera kubwa mp20 na kuendelea. Hizi utazijua kwa Alama V mbele ya memory card mfano V30

3. Memory card za kawaida matumizi yote, hizi zinakuwa na class kama 2, 4, 6, 8, 10 U1 U3 etc

Hivyo memory card ya kisasa all purpose ina rating ya U3, v30, A2 kama hii picha

sandisk-extreme-microsd-400gb-700x700.png


Ila bei yake nayo inakuwa ghali, hivyo angalia mwenyewe matumizi yako unataka nini, ushauri wangu minimum iwe class 10, zunguka uhuru kwenye maduka ya camera yenye stika za njano njano utapata.
Kama hii Gb 400 kudumu kwake kuna uhakika kweliiiii?? naogopaga vi memory vyenye storage kubwa yani naonaga ni kama namtwisha mwanangu ndooo ya lita 20 wakat kamwili kake ni kadogoooo.
 
Chief-Mkwawa leo kiongozi kusema ukweli nimepata kitu ambacho sikua nakijua kabisa kabisa,sasa hapo mkuu nina swali yani wakati naendelea kusoma ikabidi niamke niangalie memory zangu zote, nikakuta nyingine zina ki no.6 kmezungushiwa duara nyingine 10 ila sjaona ya U1 wala U3 sasa hizo mkuu zinapatikana wapi??

Halafu pale juu kwenye zile memory kwa ajili ya Storage ya kwenye simu nazo zinapatikana wapi chief,Pia kuna madhara yoyote kama kuwahi kufa kwa memory au kupoteza uwezo endapo nitatumia memory ya Group 1 kufanyia kazi ya Group.

Zaidi nikupe salute kwa somo hili mkuu.
Hizi ni ratings za speed mkuu hazina mahusiano na ubora inaweza ikawa class 6 imara ama class 6 mbovu.

Na hizo memory card zako yenye 6 inamaana uwezo wake wa kuhamisha vitu ni 6mbps na yenye 10 inamaana uwezo wa kuhamisha vitu ni 10mbps. Hizi UHS 1 na 3 zinazidi mfano hio picha Sandisk extreme ni 160mbps speed yake.

Upatikanaji wa memory card nzuri Tanzania ni tabu sana mimi hutumia maduka ya camera nilinunua 64gb kama miaka 3 iliopita hadi leo ni nzima.

Memory card za Storage ndio hizo zenye ratings za A sijawahi ziona madukani ila online hadi dola 4 zinapatikana. Kama unataka kujifunza kununua vitu online sio mbaya ukianza nayo.

Na pia kuna app ipo playstore inaitwa sd insight unaweza ukaidownload yenyewe inaweza kupa specs muhimu. Mfano memory card nje imeandikwa San disk halafu app inasema manufacture unknown ujue ni memory fake.
 
Kama hii Gb 400 kudumu kwake kuna uhakika kweliiiii?? naogopaga vi memory vyenye storage kubwa yani naonaga ni kama namtwisha mwanangu ndooo ya lita 20 wakat kamwili kake ni kadogoooo.
Wanatumia technology kama TLC na 3d nand kwa kueka layer nyingi zaidi mkuu kwa technology ya sasa watafika hadi 2TB. Cha muhimu ni warranty ikiharibika unarudisha.
 
Chief salute kwako,umefanya Uzi usio productive kuwa productive kwenye mada ile ile ya Memory card.
Ila mtoa mada aache kudeka deka hivi Hata ukiwa na 50000 hupiti piti madukani kugusa gusa vitu.
 
Jaribu kupitia maduka ya camera mkuu angalau unaweza ukapata memory card nzuri. Unataka ya kazi gani? Maana sasa hivi tunaweza kuzi categorize memory card katika mafungu matatu.

1. Memory card za Application
Hizi zinakuwa na uwezo mkubwa wa kusoma mafile madogo madogo kwa haraka, ni nzuri kama unataka memory card kwa ajili ya kueka apps na software hasa kwa wale ambao simu zao zina storage ndogo. Utaijua kwa kalama A1 ama A2 kwenye memory card.

2. Memory card za video (camera)
Hizi ni kwa ajili ya camera ama simu zenye uwezo mkubwa wa kuchukua video na picha kama vile simu zenye 4k ama camera kubwa mp20 na kuendelea. Hizi utazijua kwa Alama V mbele ya memory card mfano V30

3. Memory card za kawaida matumizi yote, hizi zinakuwa na class kama 2, 4, 6, 8, 10 U1 U3 etc

Hivyo memory card ya kisasa all purpose ina rating ya U3, v30, A2 kama hii picha

sandisk-extreme-microsd-400gb-700x700.png


Ila bei yake nayo inakuwa ghali, hivyo angalia mwenyewe matumizi yako unataka nini, ushauri wangu minimum iwe class 10, zunguka uhuru kwenye maduka ya camera yenye stika za njano njano utapata.
Mkuu ubarikiwe sana. Naufanyia kazi ushauri wako. Sina shaka na wake walioandika andika wamepata somo
 
Chief salute kwako,umefanya Uzi usio productive kuwa productive kwenye mada ile ile ya Memory card.
Ila mtoa mada aache kudeka deka hivi Hata ukiwa na 50000 hupiti piti madukani kugusa gusa vitu.
Yani wewe ni hasara uliyejaa wivu. Nikisema wa kike nitakose sana. Unamjua nyegere? Kamnyama fulani hivi kaporipori kana mgongo mgumu kama jiwe na kanapenda sana asali. Sio kakakuona
 
Njoo nikuuzie 16GB Memorycard kwa bei ya kitanzania kabisa. Nakupa na warranty ya mwezi mzima ikikuzingua unarudsha..
Ofisi yangu ipo hapa Machinga Complex sio mbali kutoka k.koo
Pia nauza flash na external hdd..
Karibuni nyote..
Nipgie sasahivi kwa 0765961152
Ni ya simu. Niliharibu kupita kkoo na kuangalia ni ioi bora nikashindwa nikaona nije kuuliza wataalam humu. Ninunue card aina gani?
 
Njoo nikuuzie 16GB Memorycard kwa bei ya kitanzania kabisa. Nakupa na warranty ya mwezi mzima ikikuzingua unarudsha..
Ofisi yangu ipo hapa Machinga Complex sio mbali kutoka k.koo
Pia nauza flash na external hdd..
Karibuni nyote..
Nipgie sasahivi kwa 0765961152
Hivi external za 500GB huwa zipo? Au ni kuanzia 1TB?
 
Back
Top Bottom