CHRISTIAN HILLARY
New Member
- Feb 24, 2013
- 4
- 1
HIvi jaman hizi nafasi za field mbona zimekuwa ngumu utafikiri ni kazi wanakupa? natafuta nafasi ya field kitengo cha civil engineering
hivi jaman hizi nafasi za field mbona zimekuwa ngumu utafikiri ni kazi wanakupa? Natafuta nafasi ya field kitengo cha civil engineering
uko mkoa gani..? Kama uko dar es salaam nenda erb(engineering registered board ) kuna contact za consultancy na macontractor kibao wa civil pia wanaweza kukupa msaada wakuattach kwenye kampuni ukafanya field ....
kwani ni mimi nilieomba field au muanzisha thread..?dogo hujielewi ww civil engineering gan ww? field zko sehemu kibao eti nakosa sehemu za field ar u crazy????