Ye ameshasema hitaji lake..kama unawezana nalo mjulishe acha uoga!Jamani kwani yeye aki PM kuna ubaya?
Ye ameshasema hitaji lake..kama unawezana nalo mjulishe acha uoga!
Ye ameshaanza kwa kuweka ombi lake hadharani!We endeleza!Lizzy mimi si muoga ila yeye anaweza akaanza kwani ndio mwenye maombi.
Ye ameshaanza kwa kuweka ombi lake hadharani!We endeleza!
Lizzy mimi napenda yeye ndio aliyeanza sasa amalize kabisa
Domo zege in ze haaaausi!
all the best dada.
mkuu ondoka na chetuntu hiyo, halaf na katoto tayari hauna presha ya uzazi kabisa yaani. kama namna gani vp tushtue tuanzishe sredi la michango ya harusi.all the best dada.
atapata wapi wakati mmempandishia vioo bana! yaani uchoyo mpaka kwenye kiibodi bana.we ushapata?
atapata wapi wakati mmempandishia vioo bana! yaani uchoyo mpaka kwenye kiibodi bana.
heheeh mbona unamvunjia heshima mgombea wetu bana, unajua jamaa ana toyota 2? au haukusoma vzuri cv yake? halaf ana referens ya kufanya kazi ubalozi wa kazakistanalegeze masharti bwana. Masharti utafikiri mganga wa kienyeji.
Nipm nikuangushie yote, jamani sitanii.
haijaosha kwa kpmo kp?