hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
heheeh mPM yule memba anaitwa mzizimkavu, nazani atakusaidia kwa masuali yote ambayo hayaingii akilini.
yule anaweza kukuambia mzizi wa jiwe dawa ya ukimwi
heheeh mPM yule memba anaitwa mzizimkavu, nazani atakusaidia kwa masuali yote ambayo hayaingii akilini.
na mkiwaita madomo zege , nani atakupeni ujauzito? tuombeni razi bana kabla hatujaandamana.
sasa mpaka maujanja tuwape sisi jamani.
Bidada anatafuta mchumba badala vidume vichangamke vinakonyeza konyeza screen tu.
halaf unaonekana kujiamini sana. ni mod wa jf nini?Hahahaha anzisheni maandamano tuharibu kabisa!!Mbona mtahama dunia!
Leo mpaka mtu alie!!Kwani hayo yote uwongo?Ngoja niongezee...wakoloni..wakorofi...vigeugeu mengine namezea!hivi nyie vipi bana!!! mara hatuna nguvu za kiume, mara tuna vibamia, mara sisi ni Marioo.....hatulipi bills, mara hatuli ubwabwa na vibua na familia.........sasa mnasema hatujui kumwaga sera.
Huu ni uzalilishaji wa a)kibaolojia b) kisaikolojia na c) kijinsia.
mbona wanitisha?
Umod ndo unaleta kujiamini??Walaa!halaf unaonekana kujiamini sana. ni mod wa jf nini?
nakutisha na nini?
una uhakika gani kama ni bidada? pengine ni njemba inatafta mtu ikamchomoe wallet. behind evry keyboard there is a mystery hiding.sasa mpaka maujanja tuwape sisi jamani.
Bidada anatafuta mchumba badala vidume vichangamke vinakonyeza konyeza screen tu.
ka vile una uwezo wa kuona pm za chentuntu vile!!!
nimeiona yako tu hadi sahivi. Waambie na wengine ila mdada apate dizaini nyingi.
pia anaweza kukwambia ukitaka kumpata husninyo au lizzy basi uhifadhi na kumemoraiz dictionary na index yake. khaaaa! JF bana, ni zaidi ya mtandao.yule anaweza kukuambia mzizi wa jiwe dawa ya ukimwi
Wanajamvi natafuta mwenza, me ni mama wa mtoto mmoja. Kutokana na sababu zisizozuilika nimetengana na mwenzangu. Nimekuwa mpweke kwa muda. Naomba msinibeze . Nawasilisha.
kwani ujauzito upo mdomoni?
pia anaweza kukwambia ukitaka kumpata husninyo au lizzy basi uhifadhi na kumemoraiz dictionary na index yake. khaaaa! JF bana, ni zaidi ya mtandao.
shabiby la saa saba nimo! nisubiri jamatini
niombe razi japo mimi basi switihati, mwenzio lile jina la domo zege limenikosesha mpaka apetaiti ya kupiga msuwaki. hao kina hashycool unaweza ukaendelea kuwaita tu domo zege haina kwere kabisa yaani.Umod ndo unaleta kujiamini??Walaa!
Hahahahaha!Quote of the day!Nimeichakachua kidogo ila we utabaki kua origineta!behind evry keyboard there is a mystery person.
hapa unaulizia au unafanya research? hivi kaizer alifika dodoma leo? naona post zako zinaonesha mwili umechoka kweli kweli . hehehekwani ujauzito upo mdomoni?
yote hayo yakwetu? sasa mbona huwa mnalala vifuani mwetu na kujisikia rahaaaa!!Leo mpaka mtu alie!!Kwani hayo yote uwongo?Ngoja niongezee...wakoloni..wakorofi...vigeugeu mengine namezea!