- Thread starter
- #21
Uko sawa kidogo bosi. Mkopo nilionao ni wa mshahara means nalipa kupitia mshahara sio biashara ungekuwa mtumishi ungeelewa hii. Ninachotaka ni mkopo wa mkulima ambao baada ya kukuza wanyama nalipa huu ni ule ambao unapewa muda wa miezi sita ndio ulipeFanya jambo ambalo lipo ndani ya uwezo wako ndugu yangu. Tambua tiyari una mkopo na bado unataka kuongeza mkopo kwenye jambo lenye risk zaidi.
Asset ya uhakika uliyo nayo hapo ni ardhi peke yake , hivyo vingine ni perishable