Wadau mimi ni mwl nipo jiji la mwanza. Nimwajiriwa lkn najihusisha ktkt biashara za kilimo.
Ninaeneo la hekari km mbili na nusu. Nimejenga nyumba ya kawaida kwaajili ya kijana wa kazi pamoja na mabanda ya kuku na nguruwe.
Lkn km mnavyojua biashara yeyote inataka mtaji bila mtaji hakuna kitu nimekopa Bank kwa kutumia msharaha wangu nikanunua eneo tajwa kwa takiribani 15,000,000/= nimejenga hayo mabanda na nyumba ndogo ya kukaa kijana
Kwasasa nina fuga nguruwe na kuku lkn natafuta mtu au Shirika linaloweza nikopesha ht milioni 10 kwaajili ya kulisha mifugo yangu
Ambayo naamini baada ya miezi minne nitakuwa nimenenepesha mifugo nimeuza ndipo nalipa mkopo wangu pamoja na riba
Zingatia sio naanzisha biashara nimeshaanza nina gari ndogo na eneo lkn pia namifugo u
Ishu nipesa ya kulishia Dhamana yangu ni 1. Gari ndogo
2. Shamba langu
3. Mifugo yangu.
4. Mshahara wangu.
Kumbuka bank sikopesheki kwani nilikopa kwaajili ya kununua eneo
Na kujenga miundombinu.
Kwanini nimeomba kusaidiwa mawazo naamini kuna watu humu wanazo pesa za kutosha tunaweza kushea au kukopeshwa wakawa wanakula faida tu
Kwa mwenye pesa au anafahamu wapi naweza pata mkopo wa kulipa baada ya miezi minne anisaidie ili niendelee kupambana
Maomba mawazo na Maoni
Wako katika kazi
Ninaeneo la hekari km mbili na nusu. Nimejenga nyumba ya kawaida kwaajili ya kijana wa kazi pamoja na mabanda ya kuku na nguruwe.
Lkn km mnavyojua biashara yeyote inataka mtaji bila mtaji hakuna kitu nimekopa Bank kwa kutumia msharaha wangu nikanunua eneo tajwa kwa takiribani 15,000,000/= nimejenga hayo mabanda na nyumba ndogo ya kukaa kijana
Kwasasa nina fuga nguruwe na kuku lkn natafuta mtu au Shirika linaloweza nikopesha ht milioni 10 kwaajili ya kulisha mifugo yangu
Ambayo naamini baada ya miezi minne nitakuwa nimenenepesha mifugo nimeuza ndipo nalipa mkopo wangu pamoja na riba
Zingatia sio naanzisha biashara nimeshaanza nina gari ndogo na eneo lkn pia namifugo u
Ishu nipesa ya kulishia Dhamana yangu ni 1. Gari ndogo
2. Shamba langu
3. Mifugo yangu.
4. Mshahara wangu.
Kumbuka bank sikopesheki kwani nilikopa kwaajili ya kununua eneo
Na kujenga miundombinu.
Kwanini nimeomba kusaidiwa mawazo naamini kuna watu humu wanazo pesa za kutosha tunaweza kushea au kukopeshwa wakawa wanakula faida tu
Kwa mwenye pesa au anafahamu wapi naweza pata mkopo wa kulipa baada ya miezi minne anisaidie ili niendelee kupambana
Maomba mawazo na Maoni
Wako katika kazi