yeye haitaji mtu serious, anataka mtu wa kumpa mimba tu, hao atapata, watu kila siku wanapoteza mbegu bure tu. Namtakia kila la kheri.huku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
yeye haitaji mtu serious, anataka mtu wa kumpa mimba tu, hao atapata, watu kila siku wanapoteza mbegu bure tu. Namtakia kila la kheri.huku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
Kweli mkuu hajajua thamani ya kuwa mzazi na kuwa na mtoto mie hata kumuiba nitaiba 2 c mwachi nyumaMme wako hajapewa uwezo wa kukupa ujauzito?
Je huyo anayekupa mimba atanufaika vipi au mbegu zake anatoa bure?
Alafu ujue kuzaa na mtu then kumuachia mtoto kirahisi tu! Isn't easy like that
Ni text mm hutajuta. Nipo Arusha. Au ni tag
Mnavyo sema mrefu najiuliza mtu mrefu kuanzia fit ngap jaman? Je una Lipa au? Mtu anawez a kawa na fut 4 lakin ni mrefu kwa mtu mwenye fut 3 semen watu tujueHabarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
kama awe tayari kupima HIV ongeza na hii awe tayari kupima mbegu, hepertytisHabarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Kisheria zaidiUtakuwa tayari tukafanye makubaliano kwa mwanasheria ili baadae usije geuka na kuanza kudai matumizi?
Ilibadae impereke ustawi wa jamii.Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Aisee, yaani WaTz tumefika hapo,hapana sio sawa.Kwa hiyo,unataka "kuzini" naye tu.Binti sijui una mtizamo gani wa kidini,lakini ulipo sipo.Nakuomba utafakari upya msimamo wako huu.Hiki unachotaka kukifanya hakipo katika mpango wa Mungu,kwa hiyo unajitengenezea mwenyewe mazingira ya kuishi chini ya laana ya Muumba wako,and that is not good for you.Gods plan is for you to have a family of a farther and mother.Hayo ndiyo mazingira mazuri na sahihi ya kumlea mtoto.Narudia tena,badili msimamo wako,msimamo ulio nao ni very ungodly.Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Vigezo vyako?!