Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,762
- 2,069
sijaelewa! Ina maana na wewe una vvu? halafu miaka 41 bado unatafuta wa kukuoa? Hebu kitulize hiko kipapa. hakuna ambae anaweza kukuoa wewe labda wa kukutafuna papuchi yako. ndo ukweli wenyewe huo dada. umri uliokuwa nao ulitakiwa uwe unalea wajukuu na sio kuhangahika mitandaoni kutafutwa mume na wajukuu zako.
Jifikirie tena ...akili yako imejaa unyanyapaa...hakika uliyoyasema hata angeambiwa nani asingefurahi....nina imani wewe binafsi unapenda kuambiwa mazuri na ya kukutia moyo ...sasa kwa mwenzio ni hivyo hivyo.