Natafuta mwanamume

Natafuta mwanamume

Nikuhakishie sifa ulizoandika ni za nje sana, unapaswa kuwa makini kumbuka mme mwema hapatikani kwenye mtandao eti. subiri wa kwako utampata tu maana watu humble wako wengi lakini unapaswa kuwa humble kwanzo.
 
Nikuhakishie sifa ulizoandika ni za nje sana, unapaswa kuwa makini kumbuka mme mwema hapatikani kwenye mtandao eti. subiri wa kwako utampata tu maana watu humble wako wengi lakini unapaswa kuwa humble kwanzo.

Acha ku crame maisha ww nani alikwambia Huwez pata mme mwema kwenye mtandao ??

Wap ni special place ya kukutana na mwenzi wa maisha yako ??

Note: Tuliopo humu ndy tuliopo huko mitaani so ondosha mawazo mgando
 
Acha ku crame maisha ww nani alikwambia Huwez pata mme mwema kwenye mtandao ??

Wap ni special place ya kukutana na mwenzi wa maisha yako ??

Note: Tuliopo humu ndy tuliopo huko mitaani so ondosha mawazo mgando
Ku crame ndio nini? is that english? Ok una maana kukalili? sina maana hiyo najaribu kukuambia uhalisia sifa alizotaja zote za nje?
 
utampataa mwenye akili kama zako tu usijal
 
...Mdada maelezo yako hayajajitosheleza. Jaribu kuweka nyama zaidi kuhusu wewe ili uwavutie watu kukujua na kuanzisha mahusiano nawe, maelezo yako yamekuwa "straight sana" yaani huna kingine cha kujielezea zaidi ya umri wako tu?.

Nakutakia mafanikio mema na Mungu akupe mwanaume mwenye upendo wa dhati na kumjua Mungu.
 
Me nakuhitaj but nimekoxa sifa moja 2 ya umri,kwan nina 28.je itawezekana?
 
here I am though am 26.......sure u aint gona regret havin me
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom