Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Hili ndio linalosukuma wanaume wengi wasiokuwa na watoto kwenye ndoa kuzaa nje ya ndoa. Maana ukishazeeka utaambiwa hata wa kusingiziwa huna?? Basi ulikuwa na matatizo wewe. Sasa ili kuepuka hayo nawashauri wanaume wenye shida hii wachukue hatua mapema..
Lakini huyu tayari ana mtoto