Habari wanawake wote wa humu JF na pia hongereni kwa upambanaji wa kujitafutia mkate wa kila siku.
Mada: Natafuta mwanamke wa kuoa awe mwanamke mwenye uhitaji wa kweli na mwenye nia ya kujenga familia bora na imara.
Sifa: Awe na umri kuanzia miaka 25 hadi 37. Dini yeyote ile - Mkristo, au Muislam, au muumini wa makanisa ya kiroho (TAG); sio tatizo kwangu. AWE TAYARI KUPIMA UKIMWI/HIV.
Kuhusu mimi: Miaka 40, mkristo, mwajiriwa, elimu yangu ni elimu ya juu ya juu ya Chuo kikuu. Ninaishi mkoani na wala siishi jijini DSM. Aliye na utayari akubali kuhamia mkoani baada ya kufikia makubaliano na kufunga ndoa.
Lengo kuu: Maisha ya ndoa/familia.
KARIBU KWA MWENYE NIA NA UHITAJI.
Mada: Natafuta mwanamke wa kuoa awe mwanamke mwenye uhitaji wa kweli na mwenye nia ya kujenga familia bora na imara.
Sifa: Awe na umri kuanzia miaka 25 hadi 37. Dini yeyote ile - Mkristo, au Muislam, au muumini wa makanisa ya kiroho (TAG); sio tatizo kwangu. AWE TAYARI KUPIMA UKIMWI/HIV.
Kuhusu mimi: Miaka 40, mkristo, mwajiriwa, elimu yangu ni elimu ya juu ya juu ya Chuo kikuu. Ninaishi mkoani na wala siishi jijini DSM. Aliye na utayari akubali kuhamia mkoani baada ya kufikia makubaliano na kufunga ndoa.
Lengo kuu: Maisha ya ndoa/familia.
KARIBU KWA MWENYE NIA NA UHITAJI.