Natafuta mwanamke wa kuishi nae

Hicho chumba chako naamini hakikosi KUNGUNI.
Mkuu fanya usafi utakuja kulala na nyoka au siafu watakutembelea.
 
Naamua sasa kuaga ukapela nimeamua nije JF kutafuta mwanamke wa kuishi nae na kuanza nae maisha. Kabila langu mkurya na yeye sharti awe mkurya.. Umri wangu 45 , nimtakae awe na 50+
Picha yangu nimeweka na yeye sharti aweke picha yake kabla hajaja PM..
NB: usije pm mambo yote tunamalizia hapa hapa weka picha nikikupenda mwenyewe nitakufuata PM.
Hiyo ni nyumba yangu sijapanga.View attachment 1187787
[/QUOTl acha kutuchafulia kabila
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom