Bugududu Sududu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2014
- 549
- 599
Hicho chumba chako naamini hakikosi KUNGUNI.
Mkuu fanya usafi utakuja kulala na nyoka au siafu watakutembelea.
Mkuu fanya usafi utakuja kulala na nyoka au siafu watakutembelea.
Huyu mjaluo sitaki nataka mkurya mwenzanguMkuu, huyu pia anatafuta mwanaume wa kuishi nae, kabila lake ni mjaluo, bilashaka mtaendana...tehView attachment 1188710
Bhita ni bhita muraaaa.... tang'aa ikirunguriHuyu mjaluo sitaki nataka mkurya mwenzangu
45 ndo umefikia hapo ki maisha si mchezo, na ujue mwanamke yeye ni mrudisha nyuma maendeleo ya mwanaume si mtakosa hata pa kulala ?
mkuu nikiongeza watu watahama mtaa vipi mko tayari?Sauti ndogo mpwa ongeza kidogo
Naamua sasa kuaga ukapela nimeamua nije JF kutafuta mwanamke wa kuishi nae na kuanza nae maisha. Kabila langu mkurya na yeye sharti awe mkurya.. Umri wangu 45 , nimtakae awe na 50+
Picha yangu nimeweka na yeye sharti aweke picha yake kabla hajaja PM..
NB: usije pm mambo yote tunamalizia hapa hapa weka picha nikikupenda mwenyewe nitakufuata PM.
Hiyo ni nyumba yangu sijapanga.View attachment 1187787
[/QUOTl acha kutuchafulia kabila