Natafuta mwanamke anayefaa kuwa mke

Mkuu kuwa na hofu ya Mungu haimaanishi kuwa usinywe! Ndio maana ukisoma biblia utaona hata Yesu alibariki mvinyo.
Kikubwa ni kujua unakunywa kwa kiasi gani na kufuata kanuni zake.

Sitaki nivae joho la kuwa mlokole wakati najua fika kuwa sometimes huwa nakunywa. Nipo very clear katika hilo
Mithali 23:29-35
29 Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye, Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu?

30 Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo; Waendao kutafuta divai iliyochanganyika.

31 Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu;

32 Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.

33 Macho yako yataona mambo mageni; Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.

34 Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.

35 Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; Wamenipiga wala sina habari; Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.

Waefeso 5:18-21
18 Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;

19 mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu;

20 na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo;

21 hali mnanyenyekeana katika kicho cha Kristo.
 
Mleta mada nakushauri pia ukiweka tangazo lako wawekee WAJIHI wako. Utaokota Demu MREFU KAMA MWAIKIMBA wakati wewe unafanana na DENIS NKANE.

 
Mithali 23:29-35
29 Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye, Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu?

30 Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo; Waendao kutafuta divai iliyochanganyika.

31 Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu;

32 Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.

33 Macho yako yataona mambo mageni; Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.

34 Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.

35 Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; Wamenipiga wala sina habari; Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.

Waefeso 5:18-21
18 Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;

19 mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu;

20 na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo;

21 hali mnanyenyekeana katika kicho cha Kristo.

You sound like a woman who is God fearing! Congratulations.

Naamini ukimpata mume anayempenda Yesu ( a husband who is mlokole) atakufaa sana.

Mimi ambaye nimeshaonja utamu wa kilevi kinachovutia kwenye glass ni ngumu kidogo kuukwepa mtego huu wa shetani ( alcohol)
 
Kama nakunywa pombe lakini silewi na mimi nahesabika mlevi au nije tu?

Wewe sio chapombe na wala sio mlevi, hivyo basi utakuwa supporter mzuri sana kwenye kusindikiza weekend na pia utakuwa na uwezo wa kutimiza majukumu yako kama mke.
Karibu sana 👏🏼
 
Kichwa cha habari chahusika.

Natafuta mwanamke mwenye uhitaji wa kuwa na mwanaume kwa malengo ya ndoa na kujenga familia bora.

Sifa za huyo mwanamke :
1. Awe mwenye hofu ya Mungu
2. Awe KABILA LOLOTE LILE
3. Umri kuanzia miaka 22 - 35
4. Asiwe single maza
5. Elimu yake iwe kuanzia form iv
6. Awe mwajiriwa au amejiari / mjaririamali
7 . Awe tayari kupima HIV
8. Asiwe mlevi / chapombe

Sifa zangu.

1. Nina hofu ya Mungu
2. Umri miaka 36
3. Elimu ya chuo kikuu
4. Nina kibarua kinaniweka mjini
5.Sio mlevi but sometimes nakunywa
6. Nipo tayari kupima HIV 24/7

Kwa mwenye sifa karibu tuyajenge.

ASANTENI NA KARIBUNI SANA
Garasa au mwanamke wa maana, kuna wachagga, wapare na wazaramu hapa Tanzania wakisindikizwa na ndugu zao wanyaturu, warangi, wasiojuwa kukataa wanaume.....shauri yako, we tangaza tu utakuja kujikuta unatafutwa na jinamizi la talaka.
 
Shida inakuja kwenye kupasha viporo! At the beginning huwa wapole kama malaika na utasema mke ndio huyo yale aliyopitia ilikuwa bahati mbaya tu (mapito ya dunia) after a while - 2 to 3 years ndio utaijua rangi yake halisi, anarudisha majeshi kwa mzazi mwenzie kimya kimya kwa kigezo kuwa anampelekea mtoto na huyo ni mzazi mwenzie.

Hata umpe kila kitu still atarudi tu kwa mzazi mwenzie , hapo ndio shida ya singo maza ilipo. Otherwise huwa ni wake wazuri sana maana wamepitia mengi and they know how to handle husband ..shida ni akikumbuka tu utamuu wa mzazi mwenzie
Si kweli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
You sound like a woman who is God fearing! Congratulations.

Naamini ukimpata mume anayempenda Yesu ( a husband who is mlokole) atakufaa sana.

Mimi ambaye nimeshaonja utamu wa kilevi kinachovutia kwenye glass ni ngumu kidogo kuukwepa mtego huu wa shetani ( alcohol)
Ninae tunafurahiana sana
 
Kwa scenario uliyoielezea it sound very clear kuwa chances ya huyo mwanamke kuwa na uhusiano wa kupasha kiporo ni ngumu sana unless huyo mwanamke awe na matatizo ya kutojielewa.

Lakini ukisoma pale pia nimeelezea kuwa ukiachana na hilo tatizo la kupasha kiporo singo maza wengi ...they are very good wife / wife materials.

Mfano itokee mtu anapata mke kama huyo singo maza uliyemtolea mfano..12 years no communication no huduma kwa mtoto no salamu achilia mbali kujua yupo wapi...huyo likely ana deserve kuwa wife of somebody no matter kuwa ni singo maza maana hakuna mazingira hatarishi hapo ya kupasha kiporo.

Shida inakuja eti mtu singo maza halafu ana mtoto wa mwaka na nusu au miaka 2 au 3, halafu bado ana communication na mzazi mwenzie kwa ajili ya matumizi ya mtoto halafu wewe anakudanganya sina communication nae, after one year unaona eti anakuambia mzazi mwenzangu anasema tusaidiane kuhudumia mtoto...as a man hapo tambua hapo tayari singo maza na mzazi mwenzie wanapika na kupakua.

But otherwise if everything is in place, singo maza are very good wife and always are trying to keeping their marriage stable and want to prove to society kuwa aliteleza tu katika maisha
basi wanaume mtambue single mama wako tabaka tofauti japo wengi washakalili, mfano kuna kabila X kukuta mwanamke ana mtoto 1 nje ni lazima kwa sababu wawapo usichanani uozeshwa kwa wanaume wasio chaguo la mioyo yao bali wingi wa mahari kwa wazazi mwisho kuishi kuitwa single Mother kama hizi ,,,,kwangu nikionaga topic hizi zinahusiana na u single maza huwa au bc

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kichwa cha habari chahusika.

Natafuta mwanamke mwenye uhitaji wa kuwa na mwanaume kwa malengo ya ndoa na kujenga familia bora.

Sifa za huyo mwanamke :
1. Awe mwenye hofu ya Mungu
2. Awe KABILA LOLOTE LILE
3. Umri kuanzia miaka 22 - 35
4. Asiwe single maza
5. Elimu yake iwe kuanzia form iv
6. Awe mwajiriwa au amejiari / mjaririamali
7 . Awe tayari kupima HIV
8. Asiwe mlevi / chapombe

Sifa zangu.

1. Nina hofu ya Mungu
2. Umri miaka 36
3. Elimu ya chuo kikuu
4. Nina kibarua kinaniweka mjini
5.Sio mlevi but sometimes nakunywa
6. Nipo tayari kupima HIV 24/7

Kwa mwenye sifa karibu tuyajenge.

ASANTENI NA KARIBUNI SANA
Miaka 35 asiwe Singo Maza?
Huyu siyo Mtanzania.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom