Natafuta mwanamke aliyezidi umri

Natafuta mwanamke aliyezidi umri

Joined
Sep 20, 2014
Posts
69
Reaction score
14
Habari.

Mimi ni kijana miaka 25,natafuta mdada au mmama aliyenizidi umri kwani ndo nawapenda ni kijana nimeajiriwa na Elimu yangu Chuo kikuu awe na hela au asiwe na hela yote sawa ila awe anayejipenda yani msafi.

Unaweza kutumia mawasiliano yako kama email/no. n.k utavojisikia.

Asanteni.
 
Tyta kangugua huyu jamaa, anatusumbua
 
Last edited by a moderator:
Habar!

Mi ni kijana miaka 25

Natafuta mdada au mmama aliyenizidi umri kwan ndo nawapenda

Ni kijana nmeajiriwa na elim yangu chuo kikuu.awe na ela au asiwe na ela yote sawa ila awe anayejipenda yaan msaf

Unaweza ntumia mawasiliano yako km email/no. n.k utavojisikia

Asanteni
Kijana Mpole 01 naona ndio post yako ya kwanza karibu JF
 
Last edited by a moderator:
Kwann aliyekuzid umri kwann usitafute wa kufanana na ww
 
vijana wa kwa Nancy Mitikisiko hawa [MENTION]Evelyne Salt[/MENTION], kijana hebu nenda kule kuna post kibao za wanaotafuta wabab na wamam

Weee naye unakurupuka tu hata hujui unaenda wapi?

aliyekuambia shy land anatafuta jimama ni nani?
 
mimi hapa je una assets gani mapaka sasa... una sh ngapi bank? unabiashara gani?
 
Hii kazi sasa anataka alelewe huyu mmh wanaume wadaresalame
 
Back
Top Bottom