Eldorah2013
Senior Member
- Aug 6, 2013
- 119
- 61
Mimi ni mwanamke, nina mtoto mmoja i am 32, nilitengana na mume kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia jf kutafuta mwenza maana walio mtaani ndo hawa hawa walio JF aliye tayari please njoo pm tuzungumze.
Kama hauna la maana pita tu. Mwanaume ninayemtaka awe kuanzia 34-45.
Nitashukuru kama matusi na kejeli havitajitokeza hapa.
Kama hauna la maana pita tu. Mwanaume ninayemtaka awe kuanzia 34-45.
Nitashukuru kama matusi na kejeli havitajitokeza hapa.