Natafuta mume

Natafuta mume

Ndo raha ya kuwa mwanaume.

Miaka 45 bado mtaani most wanted tofauti na upande wa pili.
 
Ila jaman watu wazima wana raha yk wale ambao wanajua kutunza maisha wameshayajua vinaja pasua kichwa
 
Helloooo....... Is me you looking for
 
Mmmm45 Shosti una moyo wewe, 45 mambo Ya kuchukuana na moov katikati ya show msulii umekamata Haya Lakini Una sababu zako .....

Halafu weweee wajuaje kama na yeye ana 40
 
Ukiona au kusikia mwanamke anasaka dume lenye 45 yrs ujue msakaji nagonga fifty.Bibi saka babu kimya kimya sio lazima uje hapa.
 
Mm ninaa.miakaa hyooo ilaa cna kazii ilaa pesaa ninazoo na cjaoa nipoo singlee km vp n pm nipoo namaanishaa
 
Tufahamu yafuatayo
1. Umri wako
2. Elimu yako
3. Kazi yako
4. Asili/kabila
5.mtaraka au mjane
6.Ukubwa wafamilia yako
7. Msomi kiasi unamaanisha kiwango gani cha elimu?
Ukielewesha hayo utapata mwanaume umtakaye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom