Natafuta mume

Natafuta mume

umetumikaaa ndo unakumbuka sasa
 
ina maana wewe utakuwa na 40 or
1st QST : mjane
2nd QST : km sio mjane ulikuwa wapi muda wote huo
 
Ni vigumu kupata watu wa miaka 45 humu. Labda waandishi wa habari
 
I see. Kwani huyo mmama hahitaji kupooza nafsi yake? Afu kuna vijeba humu sema havitaki kutaka umri...
Mungu akupe hitaji la moyo dada.
 
Natafuta mume wwema, awe mtu anayempenda Mungu, miaka 45, awe msomi kiasi na awe Mkatoliki.

najisikia vibaya nikiiona hii post na zingine zinazofanana na hizi!!
nani kakwambia kwenye mitandao kuna mme mwema/mke mwema??????????
 
najisikia vibaya nikiiona hii post na zingine zinazofanana na hizi!!
nani kakwambia kwenye mitandao kuna mme mwema/mke mwema??????????

Utakaa hivyo hivyo kuna watu Kibao wanakutana kwenye mitandao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom