Natafuta mume

Natafuta mume

Hahahahaha basi hata kama akuzingua utasena sasa hiyo inaitwa siri yako usimwambie mtu,sasa ngoja apate parking kama alivyo sema ndo utajutaa
Ahhha wala huyu tunajuana wenyewe waarabu wa pemba twajuana kwa vilemba si et CYBERTEQ ahhha hatumiw picha mtu hapa nyumba itakua haikaliki ahhahhhhhha
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha basi hata kama akuzingua utasena sasa hiyo inaitwa siri yako usimwambie mtu,sasa ngoja apate parking kama alivyo sema ndo utajutaa

Huyu hana parking wala ushuzi hapa ndo kafika muulize atakuambia
 
Anaonekana mama ana mtonyo wa nguvu lakin tatizo langu ni mkristu sijui nitafanyaje? ushauri jamani
 
uko wapi ubavu?
Mume muislamu,umri wake miaka 30-35.Awe mwajiriwa au shughuri yoyote inayomwingizia kipato,mrefu mwili wa wastan,kabila lolote.
Rangi yeyote ila akuwa mweupe itakuwa vema.AWE NA UPENDO WA DHATI.

Mm nina miaka 28,mwajiliwa serikalini,mrefu mnene wa wastani,mweusi,sina mtoto wala sijawahi kuolewa,kama upo serious achia namba nikupigie.
Watu wanaoishi mwanza,watapewa kipaumbele zaidi..
Nipigie no hiyo +27738077706 au What's up
 
Shemeji shemeji kanambia nina domo refu hahahaha saa sijui ni kama wa chuchunge av vipi?

Ahhahhahhhha mzoee mwaya me pia saa nyingine nachambwa kama.sina akili vizur ahahha japo n.siri ya ndani nimekumegea
 
uko wapi ubavu?
Mume muislamu,umri wake miaka 30-35.Awe mwajiriwa au shughuri yoyote inayomwingizia kipato,mrefu mwili wa wastan,kabila lolote.
Rangi yeyote ila akuwa mweupe itakuwa vema.AWE NA UPENDO WA DHATI.

Mm nina miaka 28,mwajiliwa serikalini,mrefu mnene wa wastani,mweusi,sina mtoto wala sijawahi kuolewa,kama upo serious achia namba nikupigie.
Watu wanaoishi mwanza,watapewa kipaumbele zaidi..

Kwa mwenye vigezo watakupataje dada mbona hujaweka mawasiliano?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom