Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 10,676
- 31,978
Dahh ni uvumilivu wa hali ya juu, sema madem si unajipigia tu freshy 😅Nakuambia huku hata network kipengele
Dahh ni uvumilivu wa hali ya juu, sema madem si unajipigia tu freshy 😅Nakuambia huku hata network kipengele
Nataka nianze Leo kutafutaDahh ni uvumilivu wa hali ya juu, sema madem si unajipigia tu freshy 😅
Wanaeleweka lakini? Mambo ya kuonana starboy hapana aisee😁Nataka nianze Leo kutafuta
KimekulambaaaaMimi ni binti Single Mother miaka 36,natafta mme awe muaminifu,
Namba ni 0625221348
Weee singomaza hana vigezo. Hapo alipo hana chaguo, kwahyo chaguo lolote litakalo jitokeza ndo chaguo lake.Weka vigezo
Duhh! Atakuwa hajitambui kabisa..Weee singomaza hana vigezo. Hapo alipo hana chaguo, kwahyo chaguo lolote litakalo jitokeza ndo chaguo lake.
Angejitambua asingekua singo maza.Duhh! Atakuwa hajitambui kabisa..
Njoo inbox nitakusaidia kukupa mbinu ili umpate mumeMimi ni binti Single Mother miaka 36,natafta mme awe muaminifu,
Namba ni 0625221348
Una maanisha alijizalisha akajiacha? Au unamaana gani hapo?Angejitambua asingekua singo maza.
Salam aleykumNjoo inbox nitakusaidia kukupa mbinu ili umpate mume
Sijapenda! Unaoa bila kutualika ndugu zako!!Salam aleykum
Tafadhali usifanye hivyo tena tumeoana jana na sasa niko kazini nimemuwacha kitandani amelala.
Taarifa iwafikie mnaotuma meseji na kupiga simu ,simu yake ninayo mimi hivyo acheni mara moja kablq sijawaumbua
Kama hakubakwa na hakuna kaburi la kutuoneaha basi huyo hajitambui.Una maanisha alijizalisha akajiacha? Au unamaana gani hapo?
😃😃 nioe wapi dada ? Nipo kupambania jambo maana naona vizee kwa vijana vinataka kunizidi kete inabidi nijitanabaishe kuwa Nishimuoa walau wakae mbali naye nione kama atalielewa toto la kizaramo hapaSijapenda! Unaoa bila kutualika ndugu zako!!
Na bado......Duuhhh
tumefikia huko?
Basi hujui mambo mengi sana, endelea kuishi..Kama hakubakwa na hakuna kaburi la kutuoneaha basi huyo hajitambui.
Sema utakavyo, huondo ukweli.. Tamaana na ufinyu wa kufikiria vinawaponza.. Endeleeni kujiita masuper woman akati mmetobolewa nje na ndani.Basi hujui mambo mengi sana, endelea kuishi..
Unaongea kwa uchungu sana, siwezi kubishana na wewe!Sema utakavyo, huondo ukweli.. Tamaana na ufinyu wa kufikiria vinawaponza.. Endeleeni kujiita masuper woman akati mmetobolewa nje na ndani.
Wewe ndo umelipokea kwa uchungu.. Me uchungu wanini sasa??Unaongea kwa uchungu sana, siwezi kubishana na wewe!
Sasa kuzaa na kutobolewa nje ndani maana yake nini?Wewe ndo umelipokea kwa uchungu.. Me uchungu wanini sasa??