Weee hutaki kuongeza mke love????
Hapana sweetheart namataka dada yako... HahahaWeee hutaki kuongeza mke love????
Nakutakia kila la kheri, ufunguliwe neema na umpate mwenza wako wa kuzeeka naye.Hello
Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -37yrs
Mtoto mmoja
Mjasiliamali
Mkristo- KKKT
Sifa za mume:
Umri 37yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kipato cha kutosha kuhudumia familia
Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi
Naimani nitampata humu ndani karibuni sana
Ndio nalijua leo hiliKwani mtu kuwa na mtoto lazima awe single mama?
Ndoa ikivunjika huyo siyo single mama.
Mume akifariki huyo siyo single mama.
Single mama ni yule aliyezaa hovyo tuu wakati analelewa na wazazi au walezi.